• Zubeida goes further to enlighten on the role of the media and its importance in the society.

Zubeida Koome Kananu, the president of the Kenya Editors Guild has shown support for the media amid the wrangles between the media and the government.

Speaking during an interview with Citizen TV’s Mashirima Kapombe  on June 26, 2023, Kananu urges the government and other stakeholders to directly point out to a media house when a journalistic report is false instead of ranting and throwing false accusations all over social media.

“Nitakua na amani wakati ambapo viongozi serikalini watakuja wafike watuambie hii taarifa mliyoangazia sio sahihi; ndo huu ukweli. Kwa sababu badala ya kuangazia huo ukweli, wamekuwa ni watu wa kuenda mitandaoni kuenda kutusi wanahabari na kusema kuwa wanahabari taarifa zenu sio sahihi,” said Kananu.

Citing an example of the KEMSA scandal, Zubeida is highly supportive of the media saying its role in holding those in power accountable usually yield fruits.

 “Katika sakata ya KEMSA, mafuta na kadhalika, iwapo taarifa zilizoangaziwa hazikua za ukweli, mbona serikali ikawaachisha kazi maafisa wake. Kwa sababu sisi ni sauti na jicho la mwananchi. Wakati tunaangazia taharifa na tunaona kuna uwajibikaji wa serikali; wanawachukulia hatua wale maafisa, inadhibitisha kwamba tunafanya kazi yetu,” said Kananu.

Zubeida goes further to enlighten on the role of the media and its importance in the society.

“Baadhi ya mambo yanayofanyika katika jamii, tunapoyafanya, mwananchi mwenyewe anapata ule ufahamu, anapata kujua kile ambacho kinaendelea.”

In the week starting June 18, 2023, Trade, Investments and Industry CS Moses Kuria accused the media of being irresponsible, terming them as "malaya" (prostitutes), after he was implicated in an Edible Oil scandal published by Nation Media Group.